Monday, May 21, 2012

Je, mashoga wauwawe?

Swali:
Je ni kweli kuwa kuna andiko kwenye Biblia linalodhihirisha kuwa mashoga wauwawe?.


Jibu:
Andiko hili hapa "Mambo ya walawi 20:13 "Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

No comments:

Post a Comment

Animated Social Gadget - Blogger And Wordpress Tips Twitter Bird Gadget