Saturday, May 5, 2012

Kwanini dini yenu hairuhusu wanamke kusalisha wanaume misikitini.

Swali:
Kwanini dini yenu hairuhusu wanawake kusalisha wanaume misikitini?


Jibu:
Sio kusalisha tuu bali hata biblia imekataza kabisa kuongea au kufundisha kanisani.

Ushahidi wa Biblia:
Wanawake na wanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusa kunena bali watii kama vile inenavyo Torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35). 
Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)

No comments:

Post a Comment

Animated Social Gadget - Blogger And Wordpress Tips Twitter Bird Gadget